2 Wakorintho 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo, kwa kuwa tuna tumaini la namna hiyo,+ tunatumia uhuru mkubwa wa kusema, 1 Timotheo 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana wanaume wanaohudumu kwa njia nzuri wanajipatia wenyewe msimamo mzuri+ na uhuru mwingi wa kusema+ katika imani kuhusiana na Kristo Yesu. Waebrania 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 lakini Kristo alikuwa mwaminifu akiwa Mwana+ juu ya nyumba yake Huyo. Sisi ni nyumba yake Huyo,+ ikiwa tunashikilia sana uhuru wetu wa kusema na kujisifu kwetu juu ya tumaini, imara mpaka mwisho.+
13 Kwa maana wanaume wanaohudumu kwa njia nzuri wanajipatia wenyewe msimamo mzuri+ na uhuru mwingi wa kusema+ katika imani kuhusiana na Kristo Yesu.
6 lakini Kristo alikuwa mwaminifu akiwa Mwana+ juu ya nyumba yake Huyo. Sisi ni nyumba yake Huyo,+ ikiwa tunashikilia sana uhuru wetu wa kusema na kujisifu kwetu juu ya tumaini, imara mpaka mwisho.+