Zaburi 94:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Naye atayageuza madhara yao yarudi juu yao+Naye atawanyamazisha kwa msiba wao wenyewe.+ Yehova Mungu wetu atawanyamazisha.+ Isaya 28:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa maana bizari nyeusi haisagwi kwa kifaa cha kupuria;+ wala gurudumu la gari la kukokotwa halizungushwi juu ya bizari. Kwa maana kwa kawaida bizari nyeusi hupigwa kwa fimbo,+ na bizari kwa fimbo ya mkono.
23 Naye atayageuza madhara yao yarudi juu yao+Naye atawanyamazisha kwa msiba wao wenyewe.+ Yehova Mungu wetu atawanyamazisha.+
27 Kwa maana bizari nyeusi haisagwi kwa kifaa cha kupuria;+ wala gurudumu la gari la kukokotwa halizungushwi juu ya bizari. Kwa maana kwa kawaida bizari nyeusi hupigwa kwa fimbo,+ na bizari kwa fimbo ya mkono.