15 “Tazama! nimekufanya kuwa chombo cha kupuria,+ kifaa kipya cha kupuria kilicho na meno yenye makali kuwili. Utaikanyaga milima na kuiponda; na vilima utavifanya kuwa kama tu makapi.+
3 “Yehova amesema hivi, ‘ “Kwa sababu ya maasi matatu ya Damasko,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu wamepura Gileadi+ kwa vifaa vya kupuria vya chuma.