1 Wafalme 3:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na Israeli wote wakasikia habari za uamuzi huo wa hukumu+ ambao mfalme alikuwa ametoa; nao wakaogopa kwa sababu ya mfalme,+ kwa maana waliona kwamba hekima+ ya Mungu ilikuwa ndani yake ili afanye uamuzi wa hukumu. Zaburi 72:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na ahukumu wenye kuteseka katikati ya watu,+Na awaokoe wana wa maskini,Na amponde mpunjaji. Methali 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kufanya uovu ni chukizo kwa wafalme,+ kwa maana kiti cha ufalme hufanywa imara kwa uadilifu.+
28 Na Israeli wote wakasikia habari za uamuzi huo wa hukumu+ ambao mfalme alikuwa ametoa; nao wakaogopa kwa sababu ya mfalme,+ kwa maana waliona kwamba hekima+ ya Mungu ilikuwa ndani yake ili afanye uamuzi wa hukumu.