Methali 25:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwovu na aondolewe mbele ya mfalme,+ na kiti chake cha ufalme kitafanywa imara kwa uadilifu wenyewe.+ Methali 29:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mfalme anapohukumu watu wa hali ya chini kwa ukweli,+ kiti chake cha ufalme kitafanywa imara kwa wakati wote.+ Ufunuo 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nami nikaona mbingu imefunguliwa, na, tazama! farasi mweupe.+ Na yeye aliyeketi juu yake anaitwa Mwaminifu+ na wa Kweli,+ naye anahukumu na kufanya vita kwa uadilifu.+
5 Mwovu na aondolewe mbele ya mfalme,+ na kiti chake cha ufalme kitafanywa imara kwa uadilifu wenyewe.+
14 Mfalme anapohukumu watu wa hali ya chini kwa ukweli,+ kiti chake cha ufalme kitafanywa imara kwa wakati wote.+
11 Nami nikaona mbingu imefunguliwa, na, tazama! farasi mweupe.+ Na yeye aliyeketi juu yake anaitwa Mwaminifu+ na wa Kweli,+ naye anahukumu na kufanya vita kwa uadilifu.+