Methali 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kufanya uovu ni chukizo kwa wafalme,+ kwa maana kiti cha ufalme hufanywa imara kwa uadilifu.+ Methali 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Fadhili zenye upendo na ukweli—hizo humlinda mfalme;+ na kwa fadhili zenye upendo amedumisha kiti chake cha ufalme.+ Methali 29:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mfalme anapohukumu watu wa hali ya chini kwa ukweli,+ kiti chake cha ufalme kitafanywa imara kwa wakati wote.+ Isaya 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Na kiti cha ufalme hakika kitafanywa imara kwa fadhili zenye upendo;+ na mtu ataketi juu yake katika ukweli ndani ya hema la Daudi,+ akihukumu na kutafuta haki na kuwa mwenye haraka kufanya uadilifu.”+
28 Fadhili zenye upendo na ukweli—hizo humlinda mfalme;+ na kwa fadhili zenye upendo amedumisha kiti chake cha ufalme.+
14 Mfalme anapohukumu watu wa hali ya chini kwa ukweli,+ kiti chake cha ufalme kitafanywa imara kwa wakati wote.+
5 “Na kiti cha ufalme hakika kitafanywa imara kwa fadhili zenye upendo;+ na mtu ataketi juu yake katika ukweli ndani ya hema la Daudi,+ akihukumu na kutafuta haki na kuwa mwenye haraka kufanya uadilifu.”+