1 Wafalme 2:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Basi mfalme akamwamuru Benaya mwana wa Yehoyada, naye akatoka akamshambulia, akafa.+ Na ufalme ukafanywa imara mkononi mwa Sulemani.+ Esta 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao wakamtundika Hamani juu ya mti+ ambao alikuwa ameweka tayari kwa ajili ya Mordekai;+ nayo ghadhabu ya mfalme ikapungua. Methali 20:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mfalme anaketi juu ya kiti cha hukumu,+ akitawanya ubaya wote kwa macho yake.+
46 Basi mfalme akamwamuru Benaya mwana wa Yehoyada, naye akatoka akamshambulia, akafa.+ Na ufalme ukafanywa imara mkononi mwa Sulemani.+
10 Nao wakamtundika Hamani juu ya mti+ ambao alikuwa ameweka tayari kwa ajili ya Mordekai;+ nayo ghadhabu ya mfalme ikapungua.