1 Wafalme 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Naye Sulemani akaketi juu ya kiti cha ufalme cha Daudi baba yake;+ na hatua kwa hatua ufalme wake ukafanywa kuwa imara sana.+ 2 Mambo ya Nyakati 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Naye Sulemani mwana wa Daudi akaendelea kupata nguvu katika ufalme wake,+ na Yehova Mungu wake alikuwa pamoja naye,+ akaendelea kumfanya kuwa mkuu zaidi.+ Methali 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kufanya uovu ni chukizo kwa wafalme,+ kwa maana kiti cha ufalme hufanywa imara kwa uadilifu.+ Methali 29:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mfalme hufanya nchi iendelee kusimama kupitia haki,+ lakini mtu anayekula rushwa huibomoa.+
12 Naye Sulemani akaketi juu ya kiti cha ufalme cha Daudi baba yake;+ na hatua kwa hatua ufalme wake ukafanywa kuwa imara sana.+
1 Naye Sulemani mwana wa Daudi akaendelea kupata nguvu katika ufalme wake,+ na Yehova Mungu wake alikuwa pamoja naye,+ akaendelea kumfanya kuwa mkuu zaidi.+