1 Wafalme 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na sasa usimwache bila adhabu,+ kwa maana wewe ni mtu mwenye hekima+ na unajua vema jinsi unavyopaswa kumtendea, nawe lazima ushushe katika Kaburi* mvi+ zake kwa damu.”+ 1 Wafalme 2:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mara moja Mfalme Sulemani akamtuma Benaya+ mwana wa Yehoyada; akamshambulia, naye akafa.+ 1 Wafalme 2:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kisha Benaya mwana wa Yehoyada akapanda,+ akamshambulia na kumuua;+ naye akazikwa karibu na nyumba yake mwenyewe nyikani.
9 Na sasa usimwache bila adhabu,+ kwa maana wewe ni mtu mwenye hekima+ na unajua vema jinsi unavyopaswa kumtendea, nawe lazima ushushe katika Kaburi* mvi+ zake kwa damu.”+
34 Kisha Benaya mwana wa Yehoyada akapanda,+ akamshambulia na kumuua;+ naye akazikwa karibu na nyumba yake mwenyewe nyikani.