28 Na habari hiyo ikamfikia Yoabu+—kwa maana Yoabu alikuwa na mwelekeo wa kumfuata Adoniya,+ ingawa hakuwa na mwelekeo wa kumfuata Absalomu+—na Yoabu akakimbia kwenda katika hema+ la Yehova, akashikilia kwa nguvu pembe za madhabahu.+
29 Lakini ile maskani ya Yehova ambayo Musa alikuwa ameitengeneza katika nyika na ile madhabahu ya toleo la kuteketezwa, vilikuwa wakati huo katika mahali pa juu kule Gibeoni.+