1 Wafalme 1:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Naye Adoniya akaogopa kwa sababu ya Sulemani. Kwa hiyo akasimama, akaenda zake, akazishika pembe za madhabahu.+
50 Naye Adoniya akaogopa kwa sababu ya Sulemani. Kwa hiyo akasimama, akaenda zake, akazishika pembe za madhabahu.+