1 Wafalme 2:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Habari hizo zilipomfikia Yoabu—kwa maana Yoabu alikuwa amemuunga mkono Adoniya+ lakini hakuwa amemuunga mkono Absalomu+—Yoabu akakimbilia katika hema la Yehova+ na kushika kwa nguvu pembe za madhabahu.
28 Habari hizo zilipomfikia Yoabu—kwa maana Yoabu alikuwa amemuunga mkono Adoniya+ lakini hakuwa amemuunga mkono Absalomu+—Yoabu akakimbilia katika hema la Yehova+ na kushika kwa nguvu pembe za madhabahu.