Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi mfalme akaenda Gibeoni+ ili kutoa dhabihu huko, kwa maana huko ndiko kulikokuwa mahali pa juu pakuu.+ Sulemani akatoa dhabihu elfu moja za kuteketezwa juu ya madhabahu ile.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 na Sadoki+ kuhani na ndugu zake makuhani mbele ya maskani ya Yehova katika mahali pa juu palipokuwa katika Gibeoni,+

  • 1 Mambo ya Nyakati 21:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Lakini ile maskani ya Yehova ambayo Musa alikuwa ameitengeneza katika nyika na ile madhabahu ya toleo la kuteketezwa, vilikuwa wakati huo katika mahali pa juu kule Gibeoni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki