1 Wafalme 2:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mara moja Mfalme Sulemani akamtuma Benaya+ mwana wa Yehoyada; akamshambulia, naye akafa.+ Zaburi 37:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Lakini wakosaji hakika wataangamizwa pamoja;+Wakati ujao wa watu waovu hakika utakatiliwa mbali.+ Mhubiri 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana Mungu wa kweli ataleta kila kazi katika hukumu, kuhusiana na kila jambo lililofichwa, liwe jema au baya.+
14 Kwa maana Mungu wa kweli ataleta kila kazi katika hukumu, kuhusiana na kila jambo lililofichwa, liwe jema au baya.+