8 Lakini Sadoki+ kuhani na Benaya+ mwana wa Yehoyada na Nathani+ nabii na Shimei+ na Rei na wale wanaume wenye nguvu+ wa Daudi, hawakushirikiana+ na Adoniya.
5 Mkuu wa kikundi cha tatu cha utumishi kwa ajili ya mwezi wa tatu alikuwa ni Benaya+ mwana wa Yehoyada+ mkuu wa makuhani, na katika mgawanyo wake kulikuwa na watu 24,000.