2 Samweli 20:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na Ira, Myairi, pia akawa kuhani+ wa Daudi. 1 Wafalme 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 na Azaria mwana wa Nathani+ alikuwa juu ya wasaidizi, na Zabudi mwana wa Nathani alikuwa kuhani, rafiki+ ya mfalme; 1 Mambo ya Nyakati 18:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na Benaya+ mwana wa Yehoyada+ alikuwa juu ya Wakerethi+ na Wapelethi;+ na wana wa Daudi walikuwa wa kwanza katika cheo kando ya mfalme.+
5 na Azaria mwana wa Nathani+ alikuwa juu ya wasaidizi, na Zabudi mwana wa Nathani alikuwa kuhani, rafiki+ ya mfalme;
17 Na Benaya+ mwana wa Yehoyada+ alikuwa juu ya Wakerethi+ na Wapelethi;+ na wana wa Daudi walikuwa wa kwanza katika cheo kando ya mfalme.+