Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 7:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Na wewe, Ezra, kulingana na hekima+ ya Mungu wako iliyo katika mkono wako, weka mahakimu na waamuzi ili sikuzote wawahukumu+ watu wote walio ng’ambo ya Mto, yaani, wale wote wanaojua sheria za Mungu wako; na kila mtu ambaye hajazijua, ninyi mtamfundisha.+

  • Methali 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 ikiwa utaita uelewaji+ na kupaaza sauti yako uite utambuzi,+

  • Mhubiri 7:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Hekima ina nguvu zaidi kwa mwenye hekima kuliko watu kumi wenye mamlaka waliokuwa katika jiji.+

  • Wakolosai 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hazina zote za hekima na za ujuzi zimefichwa kwa uangalifu ndani yake.+

  • Yakobo 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa hiyo, ikiwa yeyote kati yenu anakosa hekima,+ na aendelee kumwomba Mungu,+ kwa maana yeye huwapa wote kwa ukarimu na bila kushutumu;+ naye atapewa hiyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki