1 Wafalme 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na Mungu akaendelea kumwambia: “Kwa kuwa umeomba jambo hili, wala hukujiombea siku nyingi wala utajiri+ wala kuomba nafsi ya adui zako, nawe umejiombea uelewaji wa kusikia kesi,+ Methali 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kumwogopa Yehova ndio mwanzo wa hekima,+ na kumjua aliye Mtakatifu Zaidi ni uelewaji.+ Methali 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Moyo wa mtu mwenye uelewaji hujipatia ujuzi,+ nalo sikio la wenye hekima hutafuta kupata ujuzi.+
11 Na Mungu akaendelea kumwambia: “Kwa kuwa umeomba jambo hili, wala hukujiombea siku nyingi wala utajiri+ wala kuomba nafsi ya adui zako, nawe umejiombea uelewaji wa kusikia kesi,+