Methali 27:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 kwa maana hazina haitadumu mpaka wakati usio na kipimo,+ wala taji kwa vizazi vyote. 1 Timotheo 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hata hivyo, wale ambao wameazimia kuwa matajiri huanguka katika jaribu+ na mtego na tamaa nyingi za kijinga na zenye kudhuru,+ ambazo hutumbukiza watu katika maangamizi na uharibifu.+
9 Hata hivyo, wale ambao wameazimia kuwa matajiri huanguka katika jaribu+ na mtego na tamaa nyingi za kijinga na zenye kudhuru,+ ambazo hutumbukiza watu katika maangamizi na uharibifu.+