1 Mambo ya Nyakati 22:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ila tu Yehova akupe busara na uelewaji,+ naye akupe amri kuhusu Israeli ili kuishika sheria ya Yehova, Mungu wako.+ 1 Mambo ya Nyakati 29:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na Sulemani mwanangu umpe moyo kamili+ ili ashike amri+ zako, shuhuda+ zako na masharti+ yako, afanye kila jambo, na kulijenga jumba+ hili la kifalme ambalo nimelifanyia matayarisho.”+ Methali 16:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kupata hekima ni bora kama nini kuliko dhahabu!+ Na kupata uelewaji kunapasa kuchaguliwa kuliko fedha.+
12 Ila tu Yehova akupe busara na uelewaji,+ naye akupe amri kuhusu Israeli ili kuishika sheria ya Yehova, Mungu wako.+
19 Na Sulemani mwanangu umpe moyo kamili+ ili ashike amri+ zako, shuhuda+ zako na masharti+ yako, afanye kila jambo, na kulijenga jumba+ hili la kifalme ambalo nimelifanyia matayarisho.”+
16 Kupata hekima ni bora kama nini kuliko dhahabu!+ Na kupata uelewaji kunapasa kuchaguliwa kuliko fedha.+