Kumbukumbu la Torati 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nanyi mtazishika na kuzifanya, kwa sababu hiyo ni hekima+ kwenu na uelewaji+ kwenu mbele ya macho ya vikundi vya watu watakaosikia juu ya masharti yote haya, nao watasema, ‘Taifa hili kubwa bila shaka ni watu wenye hekima na wenye uelewaji.’+ Zaburi 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Pia, mtumishi wako mwenyewe ameonywa kupitia hayo;+Katika kuyashika kuna thawabu kubwa.+
6 Nanyi mtazishika na kuzifanya, kwa sababu hiyo ni hekima+ kwenu na uelewaji+ kwenu mbele ya macho ya vikundi vya watu watakaosikia juu ya masharti yote haya, nao watasema, ‘Taifa hili kubwa bila shaka ni watu wenye hekima na wenye uelewaji.’+