12 “Kwa habari ya nyumba hii unayojenga, kama ukitembea katika sheria+ zangu na kutenda maamuzi yangu ya hukumu+ na kushika amri zangu zote kwa kutembea ndani yake,+ mimi pia hakika nitakutimizia neno nililomwambia Daudi baba yako;+
7 Nami kwa hakika nitaufanya imara ufalme wake+ mpaka wakati usio na kipimo ikiwa ataazimia kwa nguvu kushika amri+ zangu na maamuzi yangu ya hukumu,+ kama ilivyo leo hii.’