Methali 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 kwa maana kuwa nayo kama mapato ni bora kuliko kuwa na mapato ya fedha na kuwa nayo kama mazao ni bora kuliko dhahabu+ yenyewe. Methali 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hekima ndilo jambo kuu. Jipatie hekima;+ na pamoja na vyote unavyojipatia, jipatie uelewaji.+
14 kwa maana kuwa nayo kama mapato ni bora kuliko kuwa na mapato ya fedha na kuwa nayo kama mazao ni bora kuliko dhahabu+ yenyewe.