Ayubu 28:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Dhahabu safi haiwezi kubadilishwa nayo,+Wala fedha haiwezi kupimwa kuwa bei yake. Methali 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Chukueni nidhamu yangu wala si fedha, na ujuzi badala ya dhahabu bora.+ Methali 16:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kupata hekima ni bora kama nini kuliko dhahabu!+ Na kupata uelewaji kunapasa kuchaguliwa kuliko fedha.+
16 Kupata hekima ni bora kama nini kuliko dhahabu!+ Na kupata uelewaji kunapasa kuchaguliwa kuliko fedha.+