1 Mambo ya Nyakati 29:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Basi Daudi mfalme akaliambia kutaniko lote:+ “Sulemani mwanangu, ambaye Mungu amemchagua,+ ni mchanga+ na mwororo, lakini kazi ni kubwa; kwa kuwa jumba hilo la kifalme si la mwanadamu,+ bali ni la Yehova Mungu.
29 Basi Daudi mfalme akaliambia kutaniko lote:+ “Sulemani mwanangu, ambaye Mungu amemchagua,+ ni mchanga+ na mwororo, lakini kazi ni kubwa; kwa kuwa jumba hilo la kifalme si la mwanadamu,+ bali ni la Yehova Mungu.