1 Wafalme 8:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ila tu wewe mwenyewe hutaijenga nyumba hiyo, lakini mwana wako atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayeijenga nyumba kwa ajili ya jina langu.’+ 1 Mambo ya Nyakati 28:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 na kati ya wanangu wote (kwa maana wana ambao Yehova amenipa ni wengi)+ ndipo akamchagua Sulemani+ mwanangu aketi kwenye kiti cha ufalme+ wa Yehova juu ya Israeli.
19 Ila tu wewe mwenyewe hutaijenga nyumba hiyo, lakini mwana wako atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayeijenga nyumba kwa ajili ya jina langu.’+
5 na kati ya wanangu wote (kwa maana wana ambao Yehova amenipa ni wengi)+ ndipo akamchagua Sulemani+ mwanangu aketi kwenye kiti cha ufalme+ wa Yehova juu ya Israeli.