1 Mambo ya Nyakati 29:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Sasa Mfalme Daudi akaliambia kutaniko lote: “Mwanangu Sulemani, ambaye Mungu amemchagua+ ni mchanga na hana uzoefu,*+ na kazi hii ni kubwa, kwa maana si hekalu* kwa ajili ya mwanadamu, bali ni kwa ajili ya Yehova Mungu.+
29 Sasa Mfalme Daudi akaliambia kutaniko lote: “Mwanangu Sulemani, ambaye Mungu amemchagua+ ni mchanga na hana uzoefu,*+ na kazi hii ni kubwa, kwa maana si hekalu* kwa ajili ya mwanadamu, bali ni kwa ajili ya Yehova Mungu.+