Methali 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Yehova mwenyewe anatoa hekima;+ kinywani mwake hutoka ujuzi na utambuzi.+ Yohana 15:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mkikaa katika muungano pamoja nami na maneno yangu yakae ndani yenu, ombeni lolote mnalotaka nalo litatukia kwenu.+ 1 Yohana 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na huu ndio uhakika ambao tunao kwake,+ kwamba, hata tukiomba nini kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+
7 Mkikaa katika muungano pamoja nami na maneno yangu yakae ndani yenu, ombeni lolote mnalotaka nalo litatukia kwenu.+
14 Na huu ndio uhakika ambao tunao kwake,+ kwamba, hata tukiomba nini kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+