Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 18:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nao watawahukumu watu kwenye kila pindi inayofaa; na itakuwa kwamba kila kesi kubwa watakuletea wewe,+ lakini kila kesi ndogo wao wenyewe wataishughulikia wakiwa waamuzi. Kwa hiyo jirahisishie mambo, nao wataubeba mzigo pamoja nawe.+

  • Kumbukumbu la Torati 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Utaweka waamuzi+ na maofisa+ kwa ajili yako ndani ya malango yote ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe kulingana na makabila yako, nao watawahukumu watu kwa hukumu ya uadilifu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 19:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na katika Yerusalemu pia Yehoshafati akaweka baadhi ya Walawi+ na makuhani+ na baadhi ya vichwa vya nyumba za ukoo wa upande wa baba+ za Israeli kwa ajili ya uamuzi+ wa Yehova na kwa ajili ya kesi+ za wakaaji wa Yerusalemu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki