Ezra 7:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Na wewe, Ezra, kulingana na hekima uliyopewa na Mungu wako,* teua mahakimu na waamuzi ili wawahukumu watu wote katika eneo lililo Ng’ambo ya Mto, wote wanaojua sheria za Mungu wako; nanyi mnapaswa kumfundisha yeyote asiyezijua.+
25 “Na wewe, Ezra, kulingana na hekima uliyopewa na Mungu wako,* teua mahakimu na waamuzi ili wawahukumu watu wote katika eneo lililo Ng’ambo ya Mto, wote wanaojua sheria za Mungu wako; nanyi mnapaswa kumfundisha yeyote asiyezijua.+