Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 20:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na mwanamke fulani mwenye hekima+ akaanza kuita kutoka jijini: “Sikilizeni, sikilizeni! Tafadhali, mwambieni Yoabu, ‘Njoo karibu mpaka hapa, nami niseme na wewe.’”

  • Methali 21:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mtu mwenye hekima amepanda hata jiji la wanaume wenye nguvu, ili apate kushusha nguvu za uhakika wa jiji hilo.+

  • Methali 24:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mtu mwenye hekima katika nguvu ni mwanamume,+ na mtu mwenye ujuzi anaimarisha nguvu.+

  • Mhubiri 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na mimi mwenyewe nikasema: “Hekima ni bora kuliko uwezo;+ hata hivyo hekima ya mtu mwenye uhitaji hudharauliwa, na maneno yake hayasikilizwi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki