2 Samweli 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na mwanamke fulani mwenye hekima+ akaanza kuita kutoka jijini: “Sikilizeni, sikilizeni! Tafadhali, mwambieni Yoabu, ‘Njoo karibu mpaka hapa, nami niseme na wewe.’” Methali 21:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtu mwenye hekima amepanda hata jiji la wanaume wenye nguvu, ili apate kushusha nguvu za uhakika wa jiji hilo.+ Methali 24:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mtu mwenye hekima katika nguvu ni mwanamume,+ na mtu mwenye ujuzi anaimarisha nguvu.+ Mhubiri 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na mimi mwenyewe nikasema: “Hekima ni bora kuliko uwezo;+ hata hivyo hekima ya mtu mwenye uhitaji hudharauliwa, na maneno yake hayasikilizwi.”+
16 Na mwanamke fulani mwenye hekima+ akaanza kuita kutoka jijini: “Sikilizeni, sikilizeni! Tafadhali, mwambieni Yoabu, ‘Njoo karibu mpaka hapa, nami niseme na wewe.’”
22 Mtu mwenye hekima amepanda hata jiji la wanaume wenye nguvu, ili apate kushusha nguvu za uhakika wa jiji hilo.+
16 Na mimi mwenyewe nikasema: “Hekima ni bora kuliko uwezo;+ hata hivyo hekima ya mtu mwenye uhitaji hudharauliwa, na maneno yake hayasikilizwi.”+