Mhubiri 7:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hekima ina nguvu zaidi kwa mwenye hekima kuliko watu kumi wenye mamlaka waliokuwa katika jiji.+ Mhubiri 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na mimi mwenyewe nikasema: “Hekima ni bora kuliko uwezo;+ hata hivyo hekima ya mtu mwenye uhitaji hudharauliwa, na maneno yake hayasikilizwi.”+ 2 Wakorintho 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana silaha za vita vyetu si za kimwili,+ bali ni zenye nguvu kwa Mungu+ kwa ajili ya kupindua ngome zenye nguvu.
16 Na mimi mwenyewe nikasema: “Hekima ni bora kuliko uwezo;+ hata hivyo hekima ya mtu mwenye uhitaji hudharauliwa, na maneno yake hayasikilizwi.”+
4 Kwa maana silaha za vita vyetu si za kimwili,+ bali ni zenye nguvu kwa Mungu+ kwa ajili ya kupindua ngome zenye nguvu.