Methali 21:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtu mwenye hekima amepanda hata jiji la wanaume wenye nguvu, ili apate kushusha nguvu za uhakika wa jiji hilo.+ Methali 24:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mtu mwenye hekima katika nguvu ni mwanamume,+ na mtu mwenye ujuzi anaimarisha nguvu.+ Mhubiri 7:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hekima ina nguvu zaidi kwa mwenye hekima kuliko watu kumi wenye mamlaka waliokuwa katika jiji.+ Mhubiri 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hekima ni bora kuliko silaha za vita, na mtenda-dhambi mmoja tu anaweza kuharibu mambo mengi mema.+
22 Mtu mwenye hekima amepanda hata jiji la wanaume wenye nguvu, ili apate kushusha nguvu za uhakika wa jiji hilo.+
18 Hekima ni bora kuliko silaha za vita, na mtenda-dhambi mmoja tu anaweza kuharibu mambo mengi mema.+