10 Hiyo ndiyo sababu, nikija, nitakumbusha matendo yake ambayo anaendelea kufanya,+ akipiga porojo juu yetu kwa maneno maovu.+ Pia, akiwa hatosheki na mambo haya, yeye mwenyewe pia hawapokei akina ndugu+ kwa heshima, na wale wanaotaka kuwapokea+ yeye hujaribu kuwazuia+ na huwatupa nje+ ya kutaniko.