2 Wakorintho 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Huku tukifanya kazi pamoja naye,+ tunawasihi ninyi pia msipokee fadhili zisizostahiliwa za Mungu kisha mkose kusudi lake.+ Wagalatia 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mmetenganishwa na Kristo, hata muwe ninyi ni nani ambao mnajaribu kutangazwa kuwa waadilifu kwa njia ya sheria;+ mmeanguka kutoka kwenye fadhili zake zisizostahiliwa.+ Waebrania 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Jihadharini, akina ndugu, ili moyo mwovu unaokosa imani usije ukasitawi ndani ya yeyote kati yenu kwa kujiondoa kwa Mungu aliye hai;+
6 Huku tukifanya kazi pamoja naye,+ tunawasihi ninyi pia msipokee fadhili zisizostahiliwa za Mungu kisha mkose kusudi lake.+
4 Mmetenganishwa na Kristo, hata muwe ninyi ni nani ambao mnajaribu kutangazwa kuwa waadilifu kwa njia ya sheria;+ mmeanguka kutoka kwenye fadhili zake zisizostahiliwa.+
12 Jihadharini, akina ndugu, ili moyo mwovu unaokosa imani usije ukasitawi ndani ya yeyote kati yenu kwa kujiondoa kwa Mungu aliye hai;+