6 Basi ikiwa ni kwa fadhili zisizostahiliwa,+ si kwa sababu ya matendo+ tena; kama sivyo, fadhili zisizostahiliwa haziwi tena fadhili zisizostahiliwa.+
15 mkiwa waangalifu kwamba yeyote asinyimwe fadhili zisizostahiliwa za Mungu;+ kwamba mzizi wowote wenye sumu+ usichipuke na kusababisha taabu na kwamba wengi wasitiwe unajisi na huo;+