Waefeso 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa njia yake tuna kuachiliwa huru kwa njia ya fidia kupitia damu+ ya huyo, ndiyo, msamaha+ wa makosa yetu, kulingana na utajiri wa fadhili zake zisizostahiliwa.+ Waefeso 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa fadhili hizi zisizostahiliwa, kwa kweli, ninyi mmeokolewa kupitia imani;+ na hiyo si kutokana na ninyi,+ ni zawadi ya Mungu.+
7 Kwa njia yake tuna kuachiliwa huru kwa njia ya fidia kupitia damu+ ya huyo, ndiyo, msamaha+ wa makosa yetu, kulingana na utajiri wa fadhili zake zisizostahiliwa.+
8 Kwa fadhili hizi zisizostahiliwa, kwa kweli, ninyi mmeokolewa kupitia imani;+ na hiyo si kutokana na ninyi,+ ni zawadi ya Mungu.+