Kumbukumbu la Torati 29:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 ili pasiwe kati yenu mwanamume au mwanamke au familia au kabila ambalo moyo wake leo unageuka mbali na Yehova Mungu wetu ili kwenda na kuitumikia miungu ya mataifa hayo;+ ili kusiwe kati yenu mzizi unaozaa tunda la mti wenye sumu na pakanga.+ Yohana 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa hiyo, mlo wa jioni ulipokuwa ukiendelea, Ibilisi akiwa tayari ameweka ndani ya moyo wa Yuda Iskariote,+ mwana wa Simoni, amsaliti,+ Matendo 8:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 kwa maana ninaona wewe ni nyongo yenye sumu+ na kifungo cha ukosefu wa uadilifu.”+
18 ili pasiwe kati yenu mwanamume au mwanamke au familia au kabila ambalo moyo wake leo unageuka mbali na Yehova Mungu wetu ili kwenda na kuitumikia miungu ya mataifa hayo;+ ili kusiwe kati yenu mzizi unaozaa tunda la mti wenye sumu na pakanga.+
2 Kwa hiyo, mlo wa jioni ulipokuwa ukiendelea, Ibilisi akiwa tayari ameweka ndani ya moyo wa Yuda Iskariote,+ mwana wa Simoni, amsaliti,+