Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 kwa hiyo Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Tazama, mimi ninawafanya wao, yaani, watu hawa, kula pakanga,+ nami nitawafanya kunywa maji yaliyotiwa sumu;+

  • Hosea 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Wao husema maneno, wakila viapo vya uwongo,+ wakifanya agano;+ na hukumu imechipuka kama mmea wenye sumu katika mitaro ya shamba.+

  • Amosi 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “ ‘Je, farasi watakimbia juu ya mwamba, au je, mtu atalima hapo kwa kutumia ng’ombe? Kwa maana ninyi mmeigeuza haki iwe mmea wenye sumu,+ na kuyageuza matunda ya uadilifu yawe pakanga,

  • Matendo 8:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 kwa maana ninaona wewe ni nyongo yenye sumu+ na kifungo cha ukosefu wa uadilifu.”+

  • Waebrania 12:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 mkiwa waangalifu kwamba yeyote asinyimwe fadhili zisizostahiliwa za Mungu;+ kwamba mzizi wowote wenye sumu+ usichipuke na kusababisha taabu na kwamba wengi wasitiwe unajisi na huo;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki