Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 21:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo watu wawili, watu wasiofaa kitu, wakaingia, wakaketi mbele yake; kisha wale watu wasiofaa kitu wakaanza kutoa ushahidi juu yake, yaani, Nabothi, mbele ya watu, wakisema: “Nabothi amemlaani Mungu na mfalme!”+ Kisha wakamtoa nje hadi mipakani mwa jiji, wakampiga kwa mawe, akafa.+

  • Zaburi 94:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Je, kiti cha ufalme kinachosababisha shida, kitashirikiana nawe,+

      Na huku kinatunga matatizo kwa njia ya amri?+

  • Isaya 59:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kumekuwa na ukosaji na kumkana Yehova;+ na kulikuwako kurudi nyuma kutoka kwa Mungu wetu, kusema ukandamizaji na maasi,+ kutunga na kunong’ona maneno ya uwongo kutoka moyoni.+

  • Hosea 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Wao husema maneno, wakila viapo vya uwongo,+ wakifanya agano;+ na hukumu imechipuka kama mmea wenye sumu katika mitaro ya shamba.+

  • Amosi 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 enyi mnaoigeuza haki kuwa pakanga tupu,+ ninyi ambao mmeutupa chini uadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki