Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 21:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nanyi mwaketishe watu wawili,+ watu wasiofaa kitu,+ mbele yake, nao watoe ushahidi juu yake,+ wakisema, ‘Umemlaani Mungu na mfalme!’+ Nanyi mtoeni nje na kumpiga kwa mawe ili afe.”+

  • Zaburi 58:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Badala yake, kwa moyo mnafanya mambo ambayo ni ya kukosa uadilifu kabisa duniani,+

      Na kutayarisha barabara kwa ajili ya jeuri ya mikono yenu!+

  • Isaya 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ole wao wanaotunga masharti yenye kudhuru+ na wale ambao, wakiandika sikuzote, wameandika taabu tupu,

  • Danieli 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 kwamba, wakati mtakaposikia sauti ya baragumu, zumari, zeze, kinubi chenye pembe tatu, kinanda, zumari-tete na aina zote za vyombo vya muziki,+ mwanguke chini na kuiabudu sanamu ya dhahabu ambayo Mfalme Nebukadneza ameisimamisha.

  • Danieli 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Maofisa wote wakuu wa ufalme, manaibu wa maliwali na maliwali, maofisa wakuu wa kifalme na magavana, wamefanya shauri pamoja ili kuweka sheria ya kifalme+ na kupiga marufuku, kwamba mtu yeyote atakayetoa ombi kwa mungu yeyote au mwanadamu kwa siku 30 isipokuwa kwako, Ee mfalme, atupwe ndani ya shimo la simba.+

  • Matendo 5:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 na kusema: “Hakika tuliwaagiza+ msiendelee kufundisha juu ya msingi wa jina hili, na bado, tazameni! mmejaza Yerusalemu fundisho lenu,+ nanyi mnaazimia kuileta damu+ ya mtu huyu juu yetu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki