Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 29:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 ili pasiwe kati yenu mwanamume au mwanamke au familia au kabila ambalo moyo wake leo unageuka mbali na Yehova Mungu wetu ili kwenda na kuitumikia miungu ya mataifa hayo;+ ili kusiwe kati yenu mzizi unaozaa tunda la mti wenye sumu na pakanga.+

  • Isaya 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana shamba la mizabibu+ la Yehova wa majeshi ni nyumba ya Israeli, na watu wa Yuda ndilo shamba alilolipenda.+ Naye akaendelea kutumaini hukumu+ ifanywe, lakini, tazama! ikawa ni kuvunjwa kwa sheria; kutumaini uadilifu ufanywe, lakini, tazama! ikawa ni kilio.”+

  • Amosi 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 enyi mnaoigeuza haki kuwa pakanga tupu,+ ninyi ambao mmeutupa chini uadilifu.+

  • Amosi 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “ ‘Je, farasi watakimbia juu ya mwamba, au je, mtu atalima hapo kwa kutumia ng’ombe? Kwa maana ninyi mmeigeuza haki iwe mmea wenye sumu,+ na kuyageuza matunda ya uadilifu yawe pakanga,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki