31 lakini wale wanaomtumaini+ Yehova watapata nguvu mpya.+ Wataruka juu kwa mabawa kama tai.+ Watakimbia wala hawatazimia; watatembea wala hawatachoka.”+
11 mkifanywa kuwa na nguvu kwa nguvu zote kwa kadiri ya uwezo wake wenye utukufu+ ili kuvumilia+ kikamili na kuwa wenye ustahimilivu pamoja na shangwe,