Methali 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nina mashauri+ na hekima inayotumika.+ Mimi—uelewaji;+ nina uwezo.+ Methali 21:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtu mwenye hekima amepanda hata jiji la wanaume wenye nguvu, ili apate kushusha nguvu za uhakika wa jiji hilo.+ Mhubiri 7:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hekima ina nguvu zaidi kwa mwenye hekima kuliko watu kumi wenye mamlaka waliokuwa katika jiji.+
22 Mtu mwenye hekima amepanda hata jiji la wanaume wenye nguvu, ili apate kushusha nguvu za uhakika wa jiji hilo.+