3 Je, huyu si yule seremala+ mwana wa Maria+ na ndugu ya Yakobo+ na Yosefu na Yuda na Simoni?+ Na dada zake wapo hapa pamoja nasi, sivyo?” Kwa hiyo wakaanza kukwazika kwa sababu yake.+
27 bali Mungu alivichagua vitu vipumbavu vya ulimwengu,+ ili awaaibishe watu wenye hekima; na Mungu alivichagua vitu dhaifu vya ulimwengu, ili aviaibishe vitu vyenye nguvu;+
8 Hekima hii hakuna hata mmoja wa watawala+ wa mfumo huu wa mambo aliyeijua,+ kwa maana kama wao wangaliijua hawangalimtundika mtini+ Bwana mwenye utukufu.