Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 10:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Vitu vyenye thamani vya tajiri ni mji wake wenye nguvu.+ Uharibifu wa watu wa hali ya chini ni umaskini wao.+

  • Marko 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Je, huyu si yule seremala+ mwana wa Maria+ na ndugu ya Yakobo+ na Yosefu na Yuda na Simoni?+ Na dada zake wapo hapa pamoja nasi, sivyo?” Kwa hiyo wakaanza kukwazika kwa sababu yake.+

  • Yohana 7:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Je, kuna hata mmoja wa watawala au wa Mafarisayo ambaye amemwamini?+

  • 1 Wakorintho 1:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 bali Mungu alivichagua vitu vipumbavu vya ulimwengu,+ ili awaaibishe watu wenye hekima; na Mungu alivichagua vitu dhaifu vya ulimwengu, ili aviaibishe vitu vyenye nguvu;+

  • 1 Wakorintho 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Hekima hii hakuna hata mmoja wa watawala+ wa mfumo huu wa mambo aliyeijua,+ kwa maana kama wao wangaliijua hawangalimtundika mtini+ Bwana mwenye utukufu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki