Yohana 12:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Hata hivyo, wengi hata kati ya watawala kwa kweli walimwamini,+ lakini kwa sababu ya Mafarisayo wakawa hawamkiri, ili wasifukuzwe katika sinagogi;+ Matendo 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa sababu hiyo neno la Mungu likaendelea kukua,+ na hesabu ya wanafunzi ikazidi kuongezeka sana katika Yerusalemu;+ na umati mkubwa wa makuhani+ ukaanza kuitii+ imani.
42 Hata hivyo, wengi hata kati ya watawala kwa kweli walimwamini,+ lakini kwa sababu ya Mafarisayo wakawa hawamkiri, ili wasifukuzwe katika sinagogi;+
7 Kwa sababu hiyo neno la Mungu likaendelea kukua,+ na hesabu ya wanafunzi ikazidi kuongezeka sana katika Yerusalemu;+ na umati mkubwa wa makuhani+ ukaanza kuitii+ imani.