Yohana 12:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Hata hivyo, wengi hata kati ya watawala kwa kweli walimwamini,+ lakini kwa sababu ya Mafarisayo wakawa hawamkiri, ili wasifukuzwe katika sinagogi;+ Matendo 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini, baadhi ya wale wa madhehebu ya Mafarisayo waliokuwa wameamini wakasimama kutoka kwenye viti vyao na kusema: “Ni lazima kuwatahiri+ na kuwaamuru washike sheria ya Musa.”+
42 Hata hivyo, wengi hata kati ya watawala kwa kweli walimwamini,+ lakini kwa sababu ya Mafarisayo wakawa hawamkiri, ili wasifukuzwe katika sinagogi;+
5 Lakini, baadhi ya wale wa madhehebu ya Mafarisayo waliokuwa wameamini wakasimama kutoka kwenye viti vyao na kusema: “Ni lazima kuwatahiri+ na kuwaamuru washike sheria ya Musa.”+