-
Matendo 15:5Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
5 Lakini, baadhi ya wale wa farakano la Mafarisayo waliokuwa wameamini wakainuka kutoka kwenye viti vyao na kusema: “Ni lazima kuwatahiri na kuwaamuru wao washike sheria ya Musa.”
-