Yohana 7:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Je, kuna hata mmoja wa watawala au wa Mafarisayo ambaye amemwamini?+ Matendo 13:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa maana wakaaji wa Yerusalemu na watawala wao hawakumjua Huyu,+ bali, walipokuwa wakitenda wakiwa waamuzi, walitimiza mambo yaliyosemwa na Manabii,+ mambo ambayo husomwa kwa sauti kubwa kila Sabato,
27 Kwa maana wakaaji wa Yerusalemu na watawala wao hawakumjua Huyu,+ bali, walipokuwa wakitenda wakiwa waamuzi, walitimiza mambo yaliyosemwa na Manabii,+ mambo ambayo husomwa kwa sauti kubwa kila Sabato,