-
Matendo 13:27Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
27 Kwa maana wakaaji wa Yerusalemu na watawala wao hawakumjua Huyu, bali, walipokuwa wakitenda wakiwa mahakimu, walitimiza mambo yaliyosemwa na Manabii, mambo ambayo husomwa kwa sauti kubwa kila Sabato,
-